Luka 15:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Siku moja, watozaushuru na wenye dhambi wengi walikwenda kumsikiliza Yesu.

2. Mafarisayo na waalimu wa sheria wakaanza kunungunika: “Mtazameni mtu huyu! Anawakaribisha wenye dhambi, na tena anakula nao.”

Luka 15