Luka 14:6-8 Biblia Habari Njema (BHN)

6. Nao hawakuweza kumjibu swali hilo.

7. Yesu aliona jinsi wale walioalikwa walivyokuwa wanajichagulia nafasi za heshima, akawaambia mfano:

8. “Kama mtu akikualika harusini, usiketi mahali pa heshima, isije ikawa amealikwa mwingine mheshimiwa kuliko wewe;

Luka 14