27. Mtu asiyechukua msalaba wake na kunifuata hawezi kuwa mwanafunzi wangu.
28. Kwa maana, ni nani miongoni mwenu ambaye akitaka kujenga mnara hataketi kwanza akadirie gharama zake ili ajue kama ana kiasi cha kutosha cha kumalizia?
29. La sivyo, baada ya kuweka msingi na kushindwa kumaliza, watu watamcheka
30. wakisema: ‘Mtu huyu alianza kujenga, lakini hakumalizia.’