Luka 12:33-35 Biblia Habari Njema (BHN)

33. Uzeni mali yenu mkawape maskini hizo fedha. Jifanyieni mifuko isiyochakaa, na kujiwekea hazina mbinguni ambako haitapungua. Huko wezi hawakaribii, wala nondo hawaharibu.

34. Pale ilipo hazina yako, ndipo pia utakapokuwa moyo wako.

35. “Muwe tayari mmejifunga mkanda kiunoni, na taa zenu ziwe zinawaka;

Luka 12