Kutoka 8:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu akafanya kama alivyosema: Makundi makubwa ya nzi yakaivamia nyumba ya Farao, nyumba za maofisa wake na nchi nzima ya Misri. Nchi nzima ya Misri ikaharibiwa na nzi hao.

Kutoka 8

Kutoka 8:15-32