Kutoka 8:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Farao alipoona kwamba nchi imepata nafuu, akawa mkaidi tena, wala hakuwasikiliza Mose na Aroni, kama Mwenyezi-Mungu alivyokuwa amesema.

Kutoka 8

Kutoka 8:8-16