Kutoka 7:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Mose na Aroni wakamwendea Farao na kufanya kama walivyoamriwa na Mwenyezi-Mungu. Aroni aliitupa fimbo yake chini mbele ya Farao na maofisa wake, nayo ikawa nyoka.

Kutoka 7

Kutoka 7:8-13