Kutoka 6:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Wana wa Simeoni walikuwa: Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Sohari na Shauli; huyu wa mwisho alikuwa mtoto wa mwanamke wa Kikanaani. Hao walikuwa mababu wa jamaa za Simeoni.

Kutoka 6

Kutoka 6:9-18