Kutoka 6:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Mose akamwambia Mwenyezi-Mungu, “Tazama, Waisraeli hawanisikilizi mimi, sembuse Farao! Tena mimi ni mtu asiye na ufasaha wa kuongea!”

Kutoka 6

Kutoka 6:5-16