Kutoka 39:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Zile ncha mbili za mikufu ya dhahabu walizitia kwenye vile vijalizo viwili wakazishikamanisha na vile vipande viwili vya mabegani vya kizibao, upande wa mbele.

Kutoka 39

Kutoka 39:15-26