Kutoka 35:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Kila mtu aliyeweza kutoa fedha au shaba aliileta kwa Mwenyezi-Mungu kama toleo lake. Tena mtu yeyote aliyekuwa na mbao za mjohoro alileta pia.

Kutoka 35

Kutoka 35:16-32