14. vinara vya taa pamoja na vyombo vyake vyote, taa zake na mafuta yake;
15. madhabahu ya ubani na mipiko yake, mafuta ya kupaka na ubani wenye harufu nzuri, pazia la mlango wa hema takatifu;
16. madhabahu ya sadaka za kuteketezwa pamoja na wavu wa shaba, mipiko yake pamoja na vyombo vyake vyote, birika na tako lake;
17. vyandarua vya ua, nguzo zake na vikalio vyake, pazia la mlango wa ua;