Kutoka 34:29 Biblia Habari Njema (BHN)

Mose alipokuwa anashuka mlimani Sinai akiwa na vile vibao viwili vyenye maneno ya agano mikononi mwake, hakujua kuwa uso wake ulikuwa unangaa kwa sababu alikuwa ameongea na Mwenyezi-Mungu.

Kutoka 34

Kutoka 34:22-33