Kutoka 34:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Msifanye mikataba yoyote na wakazi wa nchi hiyo, maana watakapoiabudu miungu yao ya uongo na kuitambikia, watawaalikeni, nanyi mtashawishiwa kula vyakula wanavyoitambikia miungu yao,

Kutoka 34

Kutoka 34:6-17