Kutoka 32:8 Biblia Habari Njema (BHN)

wameiacha mara moja njia niliyowaamuru, wakajifanyia ndama wa kusubu, nao wamemwabudu na kumtolea tambiko wakisema, ‘Ee Israeli, huyu ndiye mungu wetu aliyetutoa nchini Misri!’

Kutoka 32

Kutoka 32:2-16