Kutoka 32:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini sasa nenda ukawaongoze watu mpaka mahali nilipokuambia. Tazama, malaika wangu atakutangulia. Hata hivyo, siku nitakapowajia, nitawaadhibu kwa sababu ya dhambi yao.”

Kutoka 32

Kutoka 32:27-35