Kutoka 30:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwenye madhabahu hiyo, kamwe msifukize ubani usio mtakatifu, wala msitoe sadaka ya kuteketezwa, wala sadaka ya nafaka, wala kumimina juu yake sadaka ya kinywaji.

Kutoka 30

Kutoka 30:4-13