Kutoka 29:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo Waisraeli daima watachukua sehemu hizo kutoka katika sadaka zao za amani wanazonitolea mimi Mwenyezi-Mungu na kumpa Aroni na wanawe. Hiyo ni sadaka yao kwa Mwenyezi-Mungu.

Kutoka 29

Kutoka 29:24-37