Kutoka 25:9-11 Biblia Habari Njema (BHN)

9. Utatengeneza hema hiyo na vifaa vyake kulingana na mfano nitakaokuonesha.

10. “Waisraeli watengeneze sanduku la mbao za mjohoro, lenye urefu wa sentimita 110, upana sentimita 66, na kimo sentimita 66.

11. Utalipaka sanduku hilo dhahabu safi ndani na nje, na kulifanyia ukingo wa dhahabu pande zote.

Kutoka 25