Kutoka 24:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Mose akaichukua ile damu na kuwanyunyizia watu, akisema, “Hii ndiyo damu ya agano ambalo Mwenyezi-Mungu amelifanya nanyi kufuatana na maneno haya yote.”

Kutoka 24

Kutoka 24:3-11