Kutoka 24:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Njoo kwangu juu mlimani, ungoje huko. Mimi nitakupa vibao viwili vya mawe vyenye sheria na amri nilizoandika kwa ajili ya kuwafunza Waisraeli.”

Kutoka 24

Kutoka 24:6-18