Kutoka 21:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Kama bwana wake alimwoza mke, akamzalia watoto wa kike au wa kiume, basi, huyo mwanamke na watoto wake watakuwa mali ya huyo bwana wake, na huyo mtumwa ataondoka peke yake.

Kutoka 21

Kutoka 21:1-7