Kutoka 21:35 Biblia Habari Njema (BHN)

“Ngombe wa mtu akimwumiza ng'ombe wa mtu mwingine na kumwua, basi, watu watamwuza huyo ng'ombe aliyebaki hai na kugawana bei yake; vilevile watagawana yule ng'ombe aliyekufa.

Kutoka 21

Kutoka 21:30-36