Kutoka 2:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya muda mrefu, mfalme wa Misri akafa. Waisraeli wakapiga kite na kulia kutokana na hali yao ya utumwa, na kilio chao kikamfikia Mungu juu.

Kutoka 2

Kutoka 2:20-25