Kutoka 2:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku moja, Mose alipokuwa mtu mzima, aliwaendea Waebrania wenzake ili kujionea taabu zao. Basi, akamwona Mmisri mmoja anampiga Mwebrania, mmoja wa ndugu zake Mose.

Kutoka 2

Kutoka 2:2-12