Kutoka 19:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtu asimguse mtu huyo; atauawa kwa kupigwa mawe au mshale awe ni mtu au ni mnyama, hataishi. Wakati mbiu itakapopigwa mfululizo, watu wote watakaribia mlimani.”

Kutoka 19

Kutoka 19:5-14