Kutoka 16:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Waisraeli walipoona kitu hicho walishangaa, wakaulizana, “Nini hiki?” Hawakujua kilikuwa kitu gani. Basi, Mose akawaambia, “Huu ni mkate ambao Mwenyezi-Mungu amewapa mle.

Kutoka 16

Kutoka 16:12-19