Kutoka 16:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Jumuiya yote ya Waisraeli iliondoka, ikafika jangwa la Sini kati ya Elimu na Sinai. Hii ilikuwa siku ya kumi na tano ya mwezi wa pili tangu walipoondoka nchini Misri.

2. Basi, jumuiya yote ya Waisraeli ikawalalamikia Mose na Aroni huko jangwani,

Kutoka 16