Kutoka 14:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Farao, mfalme wa Misri, aliposikia kwamba Waisraeli wamekimbia, yeye na maofisa wake walibadili fikira zao, wakasema, “Tumefanya nini kuwaachia Waisraeli waende zao wasitutumikie tena?”

Kutoka 14

Kutoka 14:1-14