Kutoka 14:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, malaika wa Mungu aliyekuwa mbele ya kundi la Waisraeli aliondoka akakaa nyuma yao. Na ule mnara wa wingu pia uliondoka mbele ukasimama nyuma yao,

Kutoka 14

Kutoka 14:10-21