Kutoka 12:39 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa kuwa walikuwa wameondoka Misri kwa haraka, hawakuweza kutayarisha chakula cha safarini, ila tu ule unga uliokandwa bila kutiwa chachu. Basi, wakaoka mikate isiyotiwa chachu.

Kutoka 12

Kutoka 12:36-46