Kutoka 12:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Waisraeli wakauchukua unga wao uliokandwa kabla haujatiwa chachu, na mabakuli yao ya kukandia wakiwa wamezifunga kwa nguo na kubeba mabegani.

Kutoka 12

Kutoka 12:28-40