Kutoka 11:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini miongoni mwa Waisraeli hakuna mtu, mnyama au mbwa wao atakayepatwa na madhara yoyote, ili upate kutambua kwamba mimi Mwenyezi-Mungu hutofautisha kati ya Waisraeli na Wamisri.’”

Kutoka 11

Kutoka 11:1-10