Kutoka 10:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo, Mose na Aroni wakaitwa warudi kwa Farao, naye akawaambia, “Nendeni mkamtumikie Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu. Lakini, nauliza: Ni kina nani watakaokwenda pamoja nanyi?”

Kutoka 10

Kutoka 10:6-16