Kutoka 10:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, Farao akamwita Mose, akamwambia, “Nendeni mkamtumikie Mwenyezi-Mungu. Watoto wenu pia wanaweza kwenda pamoja nanyi. Lakini kondoo na mbuzi, na ng'ombe wenu wabaki.”

Kutoka 10

Kutoka 10:19-29