Kutoka 10:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa kuwapuuza, Farao akawaambia, “Ehe! Mwenyezi-Mungu awe nanyi kama nitawaruhusu kamwe mwende zenu na watoto wenu. Ni dhahiri kwamba mnayo nia mbaya moyoni mwenu.

Kutoka 10

Kutoka 10:6-13