Kutoka 1:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Wao wakamjibu Farao, “Wanawake wa Kiebrania si sawa na wanawake wa Misri. Wao ni hodari; kabla mkunga hajafika, wao huwa wamekwisha jifungua.”

Kutoka 1

Kutoka 1:18-20