Kutoka 1:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Wamisri wakawateua wanyapara wawasimamie Waisraeli na kuwatesa kwa kazi ngumu. Waisraeli wakafanya kazi ya kumjengea Farao miji ya kuwekea akiba, Pithomu na Ramesesi.

Kutoka 1

Kutoka 1:8-16