Kumbukumbu La Sheria 4:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Jihadharini sana msije mkasahau agano ambalo Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, amefanya nanyi; msijifanyie sanamu ya kuchonga katika umbo la kitu chochote ambacho Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, amewakataza kumfananisha,

Kumbukumbu La Sheria 4

Kumbukumbu La Sheria 4:17-27