Kumbukumbu La Sheria 4:10 Biblia Habari Njema (BHN)

juu ya siku ile ambayo mlisimama mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, kule Horebu, aliponiambia, ‘Wakusanye hao watu mbele yangu, niwaambie maneno yangu ili wajifunze kunicha mimi siku zote za maisha yao, na kuwafundisha watoto wao kufanya hivyo’.

Kumbukumbu La Sheria 4

Kumbukumbu La Sheria 4:1-19