Kumbukumbu La Sheria 32:46 Biblia Habari Njema (BHN)

aliwaambia, “Yawekeni mioyoni mwenu maneno yote ambayo ninawapeni leo. Lazima muwaamuru watoto wenu ili wafuate kwa uaminifu maneno yote ya sheria hii.

Kumbukumbu La Sheria 32

Kumbukumbu La Sheria 32:41-52