Kumbukumbu La Sheria 31:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Nitakapowapeleka katika nchi inayotiririka maziwa na asali, kama nilivyowaapia babu zao, nao wakala wakashiba na kunenepa, wataigeukia miungu mingine na kuitumikia; watanidharau na kulivunja agano langu.

Kumbukumbu La Sheria 31

Kumbukumbu La Sheria 31:16-29