Kumbukumbu La Sheria 31:2 Biblia Habari Njema (BHN)

akawaambia, “Mimi sasa nina umri wa miaka 120, na sina nguvu ya kufanya kazi zaidi. Tena Mwenyezi-Mungu, ameniambia kuwa sitavuka mto Yordani.

Kumbukumbu La Sheria 31

Kumbukumbu La Sheria 31:1-9