Kumbukumbu La Sheria 26:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Utamwendea kuhani anayehudumu wakati huo, na kumwambia, ‘Leo ninakiri mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu, kuwa nimeingia katika nchi aliyowaapia wazee wetu kuwa atatupa.’

Kumbukumbu La Sheria 26

Kumbukumbu La Sheria 26:1-10