Kumbukumbu La Sheria 23:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Kama miongoni mwenu kuna mtu yeyote ambaye ni najisi kwa sababu ya kutokwa mbegu usiku, huyo atatoka nje ya kambi; hatakaa karibu na kambi.

Kumbukumbu La Sheria 23

Kumbukumbu La Sheria 23:7-14