Kumbukumbu La Sheria 14:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Halafu nendeni mahali ambapo Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu amepachagua kuweka jina lake, na mkiwa mbele yake mtaila zaka ya nafaka yenu, ya divai yenu na ya mafuta, na ya wazaliwa wa kwanza wa ng'ombe na kondoo wenu; fanyeni hivi ili mjifunze kumcha Mwenyezi-Mungu Mungu wenu daima.

Kumbukumbu La Sheria 14

Kumbukumbu La Sheria 14:20-24