Isaya 8:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Nililala na mke wangu ambaye pia ni nabii, akapata mimba, akajifungua mtoto wa kiume. Mwenyezi-Mungu akaniambia, “Mpe mtoto huyo jina ‘Teka-haraka-pokonya-upesi.’

Isaya 8

Isaya 8:1-11