Isaya 48:21-22 Biblia Habari Njema (BHN)

21. Alipowaongoza jangwani hawakuona kiu,aliwatiririshia maji kutoka mwambani,aliupasua mwamba maji yakabubujika.

22. Lakini Mwenyezi-Mungu asema hivi:“Watu waovu sitawapa amani.”

Isaya 48