Isaya 45:24-25 Biblia Habari Njema (BHN)

24. “Watasema juu yangu,‘Haki na nguvu viko kwa Mwenyezi-Mungu peke yake.’”Wote waliomwakia hasira Mwenyezi-Munguwatamjia yeye na kuaibishwa.

25. Lakini wazawa wa Israeliwatapata ushindi kwake Mwenyezi-Mungu na kufurahi.

Isaya 45