29. Yeye huwapa uwezo walio hafifu,wanyonge huwapa nguvu.
30. Hata vijana watafifia na kulegea;naam, wataanguka kwa uchovu.
31. Lakini wote wanaomtumainia Mwenyezi-Mungu,watapata nguvu mpya.Watapanda juu kwa mabawa kama tai;watakimbia bila kuchoka;watatembea bila kulegea.